Argentina
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Kihispania: En Unión y Libertad ("Katika umoja na uhuru") | |||||
Wimbo wa taifa: Oíd, mortales, el grito sagrado: Sikilizeni mlio mtakatifu ewe ninyi wenye kufa | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Buenos Aires | ||||
Mji mkubwa nchini | Buenos Aires | ||||
Lugha rasmi | Kihispania | ||||
Serikali | Jamhuri Javier Mikei | ||||
Uhuru Mapinduzi ya Mei Tangazo la uhuru wa Argentina imetambuliwa |
25 Mei 1810 9 Julai 1816 1821 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
2,780,400¤ km² (ya 8) 1.1 | ||||
Idadi ya watu - 2014 kadirio - 2010 sensa - Msongamano wa watu |
42,669,500 (ya 32) 40,117,096 14.4/km² (ya 212) | ||||
Fedha | Peso ya Argentina (ARS )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
ART (UTC-3) ARST (UTC-3) | ||||
Intaneti TLD | .ar | ||||
Kodi ya simu | +54
- | ||||
¤ Argentina ina fitina na Uingereza kuhusu visiwa vya Falkland (Malvina), Visiwa vya South Georgia na South Sandwich na sehemu ya Antaktika. |
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/f0/Ar-map.png/220px-Ar-map.png)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5c/Vi%C3%B1edoCafayate.jpg/220px-Vi%C3%B1edoCafayate.jpg)
Argentina, rasmi inajulikana kama Jamhuri ya Argentina, ni nchi iliyoko Amerika Kusini. Ni jamhuri ya shirikisho inayojumuisha majimbo 23 na jiji la kujitegemea la Buenos Aires, ambalo ndilo mji mkuu wake.Argentina inapakana na Chile upande wa magharibi, Bolivia na Paraguay upande wa kaskazini, Brazil upande wa kaskazini-mashariki, Uruguay na Bahari ya Kusini ya Atlantiki upande wa mashariki Ikitokea na idadi ya watu takriban milioni 45, inashika nafasi ya 32 kwa kuwa na idadi kubwa ya watu duniani. Jiji kubwa zaidi Buenos Aires ni mojawapo ya vituo muhimu vya kitamaduni na kiuchumi katika Amerika Kusini.
Kuna madai dhidi ya Uingereza juu ya visiwa vya Falkland (Malvina), Visiwa vya South Georgia na South Sandwich na sehemu ya Antaktika.
Watu
[hariri | hariri chanzo]![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fe/Pape-fran%C3%A7ois-en-Papamobile-en-Cor%C3%A9e.jpg/200px-Pape-fran%C3%A7ois-en-Papamobile-en-Cor%C3%A9e.jpg)
Wakazi wengi (97%) wana asili ya Ulaya na Mashariki ya Kati, hasa Italia (55%) na Hispania.
Lugha yao ya kawaida ni Kihispania na dini rasmi ni Ukristo wa Kanisa Katoliki (76.5%). Asilimia 9 ni Waprotestanti.
Miji
[hariri | hariri chanzo]Miji mikubwa zaidi ni:
- Buenos Aires, ambao ndio mji mkuu
- Córdoba
- Rosario
- Mendoza
- San Miguel de Tucumán
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Tovuti rasmi (Kihispania) (Kiingereza) (Kireno)
Nchi na maeneo ya Amerika Kusini |
Argentina | Bolivia | Brazil | Chile | Ekuador | Guyana | Guyani ya Kifaransa | Kolombia | Paraguay | Peru | Surinam | Uruguay | Venezuela |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika Kusini bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Argentina kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |