LADIES AND GENTLEMEN, OUR ESTEEMED GUEST OF
HONOR AND ALL DISTINGUISHED GUESTS, PROUD
PARENTS AND MY FELLOW GRADUATES,
PRAISE THE MOST HIGH GOD
IT IS AN HONOR TO STAND BEFORE YOU TODAY AS WE
CELEBRATE THIS MOMENTOUS OCCASION. TODAY, WE
CLOSE ONE CHAPTER OF OUR LIVES AND EARGELY LOOK
FORWAD TO THE FUTURE THAT AWAITS US
GRADUATION IS THE TIME OF REFLECTION AND
ANTICIPATION. WE LOOK BACK IN THE DAYS AND YEARS
SPENT HERE, THE FRIENDSHIP WE HAVE FORGED, THE
CHALLENGES WE’VE OVERCOME, AND THE KNOWLEDGE
WE’VE GAINED. WE’VE GROWN INTO NOT JUST
ACADEMICALLY, BUT ALSO SPIRITUALY AND PERSONALLY,
SHAPING US INTO WHO WE ARE TODAY.
BUT NOW, AS WE STAND AT THE THRESHOLD OF THE
FUTURE, WE FACE A WORLD THAT IS CONSTANTLY
CHANGING. THE PACE OF TECHNOLOGICAL
ADVANCEMENT, THE SHIFTING LANDSCAPE OF
INDUSTRIES AND THE GLOBAL CHALLENGES THAT LIE
AHEAD MAY SEEM DAUNTING. YET, IT IS IN THESE
CHALLENGES THAT WE FIND OPPORTUNITY
THE FUTURE IS NOT A DISTANT CONCEPT, IT BEGINS
NOW, WITH THE CHOICES WE MAKE AND THE ACTIONS
WE TAKE. WE HAVE THE POWER TO SHAPE IT, TO MAKE IT
MORE BRIGHTER AND MORE INCLUSIVE. OUR EDUCATION
HAS EQUIPPED US WITH TOOLS WE NEED TO INNOVATE,
TO THINK CRITICALLY, AND TO CONTRIBUTE MEANINGFUL
TO THE SOCIETY.
AS WE MOVE FORWARD LET'S REMEMBER THAT THE
JOURNEY WON'T BE SMOOTH. THERE WILL BE OBSTACLES
AND SETBACKS. BUT LET'S NOT BE DISCOURAGED. IT IS
THROUGH ADVERSITY THAT WE GROW STRONGER, MORE
RESILIENT, AND MORE DETERMINED. EMBRACE THESE
MOMENTS, LEARN FROM THEM AND KEEP MOVING
FORWARD.
LET'S ALSO REMEMBER THE IMPORTANCE OF
COMMUNITY. THE RELATIONSHIPS WE'VE BUILT HERE
WILL CONTINUE TO SUPPORT US AS WE NAVIGATE THE
FUTURE. STAY CONNECTED, COLLABORATE, AND
SUPPORT ONE ANOTHER. TOGETHER WE CAN ACHIEVE
SO MUCH MORE THAN WE CAN ALONE.
FINALLY, LET'S APPROACH THE FUTURE WITH HOPE AND
OPTIMISM. BELIEVE IN YOUR ABILITIES, STAY CURIOUS,
AND NEVER STOP LEARNING. THE WORLD NEEDS OUR
PASSION, OUR CREATIVITY, AND OUR COMMITMENT TO
MAKING A DIFFERENCE.
Baada ya Miaka 200, ambapo ni kwenye Mwaka 2224
hivi, sisi sote, ndugu, jamaa na marafiki zetu tutakua
tumepumzika Kwa amani. Watu wengine kabisa watakua
wanaishi kwenye majumba tuliyofanya kazi kubwa Sana
kuyajenga. Watu wengine kabisa watakua wanamiliki vitu
tulivyonavyo Sasa. Vitu vyetu vingi vitakua either
vimeondolewa, vimetupwa au vineharibiwa kabisa Kwa
kuchomwa moto n.k. Hata Lile gari la Gharama ulilonalo
au utakalonunua litakua Scraper. Kizazi chetu (wajukuu,
vitukuu, n.k) watakua hata hawajui mambo mengi kuhusu
sisi au hawatujui kabisa, na Wala hawatukumbuki.
Ninamaanisha, au jiulize ni wangapi wetu wanafahamu
Jina tu la Babu yake na Babu yao. Tukiondoka Duniani,
itachukua miaka kadhaa tu unabaki kuwa kwenye Picha
ukutani Kwa mtu Fulani. Baada ya miongo kadhaa, picha
zetu za Zamani na baadhi ya vitu tulivyonavyo vinabaki
historia na vinasahaulika. Tukikaa tukajiuliza haya
maswali tutagundua 95% ya vitu tunavyoviwazia kila siku
ni Pretty POINTLESS (havina maana). Kama tutaweka hilo
akilini, mawazo yetu na matendo yetu yatabadilika for
the better. Kuna muda Huwa tunajisikia huru kuishi
maisha yetu au ku-ENJOY. Always remember this, if it
won’t matter in 5 years, don’t spend 5 minutes being
upset about it.
Your life Is your message to the world. Make sure it’s
inspiring
The tragedy of life is not death but what we let die inside
of us while we live
The purpose of life is a life of purpose
One Day we all will depart,
On a journey free of cost,
Don’t worry about seat reservation, it is confirmed
The flight is always ontime
Our good deeds will be our luggage
Humanity will be our passport
Love will be our visa
Make sure we do our best to travel to Heaven in business
class
TIMEZONE
Kuna mtu anahitimu akiwa na miaka 22 lakini anapata
kazi baada ya miaka mi-5. Mwingine alikua CEO akiwa na
miaka 25 na akafariki akiwa na miaka 50. Wakati kuna
mwingine alikua CEO akiwa na miaka 50 na akaishi
mpaka umri wa miaka 90. Kuna mtu bado yuko single
lakini kuna mtu mmoja ambaye amesoma nae
ameshakua Babu/Bibi. Obama alistaafu akiwa na miaka
55 ila Trump alianza Urais akiwa na miaka 70. Kila mmoja
kwenye hii dunia ana majira yake. Unaweza kuona watu
waliokuzunguka ni kama wamekutangulia sana. Na
wengine wako nyuma sana. Ila kila mmoja anakimbia
Riadha yake kwa wakati wake. Usimuonee mtu wivu; yuko
kwenye majira yake na wewe uko kwenye majira yako.
RELAX, Hujachelewa wala Hujawahi. NI SUALA LA MUDA
TU.
ISHI KUSUDI LA KUUMBWA KWAKO, ITAKUEPUSHA NA
MASHINDANO NA MAHANGAIKO
Mhitimu mmoja wa masomo ya wanyama alipata wakati
mgumu sana kutafuta kazi baada ya kumaliza elimu yake
ya chuo kikuu. Siku moja akaona tangazo la kazi kwenye
moja ya magazeti makubwa nchini kwake kwenye
bustania wanyama (ZOO). Akafanya hima kutuma
maombi yake, yakapokelewa na akapata wito wa
INTERVIEW. Wakati yuko kwenye interview meneja wa ile
ZOO akamwambia Sokwe wao aliyekua kivutio kikubwa
sana kwa watalii amefariki. Hivyo walikua wanatafuta mtu
anayeweza kuvikwa na kuigiza kama SOKWE maana
hawawezi kumudu gharama za kupata SOKWE mwingine
kwa wakati huo na wako kwenye hatari ya kupoteza
wateja. Yule mhitimu alijisikia vibaya ila kwa sababu
mshahara ulikua mnono na hakua na kazi nyingine
akaamua kukubali kufanya hiyo kazi. Siku ya kwanza
alivaa kama SOKWE na kuingia kazini ambapo alienda
kwenye KIJUMBA cha SOKWE na kuanza kuonyesha
miondoko mbalimbali ya SOKWE kutokana na uzoefu
wake. Aliruka juu na chini na kujipigapiga kifua huku
akipiga kelele kama SOKWE. Siku iliyofuata alivalia yale
mavazi na kwenda tena kwenye majukumu yake na siku
hii alionyesha Mbwembwe na Udambwiudambwi wa
kutosha huku akizunguka maeneo mbalimbali kwenye ile
ZOO. Kwa bahati mbaya aliingia kwenye Kijumba kingine
ambako alijkuta anatazama na SIMBA. Yule SIMBA
akaanza kupiga kelele huku akimfuata. Mhitimu yule
akiwa na uoga mwingi akajisahau kuwa yeye ni SOKWE
na kuanza kupiga kelele nyingi kama Binadamu.
MAMAAA, MAMAAAA, NISAIDIEENIIII. Yule Simba
akamrukia na kumlalia halafu akamziba mdomo na
kumwambia “Matayo Matayo, nyamaza utasababisha
tufukuzwe Kazi. Me ni Amani College mate wako.
Usiogope Kaka, Hakuna ajira kwenye hii nchi. Kimsingi
unamuona huyo MAMBA hapo Bwawani? Huyo ni Anthony
Class Representative wetu.
IN CLOSING, CONGRATULATIONS TO THE CLASS OF 2024.
LET’S GO OUT INTO THE WORLD WITH CONFIDENCE AND
DETERMINATION. READY TO EMBRACE THE FUTURE AND
ALL THE POSSIBILITIES IT HOLDS. OUR JOURNEY IS JUST
BEGINNING, AND I HAVE NO DOUBT THAT WE WILL
ACHIEVE GREAT THINGS.
THANK YOU